SITI MTEVU AENDELEA KUSHIKA TAJI LA MISS TANZANIA 2014

SITI MTEVU AENDELEA KUSHIKA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
Baada ya kashfa na tuhuma zilizokuwa zikimkabiri kukosa vithibitisho.

Hashim Lundenga akionesha cheti cha kuzaliwa cha Siti Mtemvu kwa wahandishi wa habari wakati wa mkutano na wahandishi wa habari leo asubui katika hoteli ya Jb Belmont

Hashim Lundenga akitoa utetezi wake zidi ya tuhuma zinazomkabiri mshindi wa miss Tz 2014 Siti Mtemvu kuwa hazina uthibitisho

Siti Mtemvu akitoa utetezi wake mbele ya wahandishi wa habari

Siti akitoka ukumbini akiwa ameongozana na mama yake

0 comments: