Photography : Justine Kazaura
Event: Miss dar City centre ( talent)
Haya yalikuwa mashindano ya kumsaka "Miss Dar City Centre talent" yaliyofanyika Maisha club tarehe 16/05/2014, ambapo chief judge wa mashindano hayo alikuwa Latifa Mohamed pamoja na Alice Mwakatika na Flaviana Maeda.
| Latifa Mohamed (kushoto) chief judge |
Watumbuizaji wa usiku huo walikuwa wasanii wa bongo fleva Ambao ni TID na Rich Mavoko
Wanaofata ni warembo wahiriki wa Miss Dar City Centre wakiwa wanaonyesha vipaji vyao
| TID akitumbuiza jukwaani |
| Rich Mavoko akiwa tumbuiza watazamaji |
| Baadhi ya watazamaji waliouzuria Miss Dar city centre Talent |
Wanaofata ni warembo wahiriki wa Miss Dar City Centre wakiwa wanaonyesha vipaji vyao
| Akionesha kipaji cha kucheza |
| Mshiriki akionesha kipaji chake cha kucheza |
| Kipaji cha kucheza Mziki |
| kipaji cha kucheza mziki |
| kipaji cha kuimba |
| kipaji cha kuimba |
| kipaji cha kuimba ( taarab) |
| kipaji cha kuimba |
| kipaji cha kuimba |
| Kipaji cha ubunifu |
| Kipaji cha ubunifu |
| Chief judge ( Latifa Mohamed) akitangaza washindi walioweza kuingia tano bora usiku huo |
| Washindi walioingia tano bora ni Neema sesano akifatiwa na Hatma Rashidi,Dorica David,Francisca Simon na Samantha Dezzy |
0 comments:
Post a Comment